Grow your YouTube channel like a PRO with a free tool
Get Free YouTube Subscribers, Views and Likes

Heshima aliyopewa Kanali Ali Mahfoudh wa Zanzibar na Rais Samora Machel wa Msumbiji

Follow
Gumzo la Ghassani

Aliyekuwa mke wa Marehemu Kanali Ali Mahfoudh, Bibi Naila Majid Jidawi, anazungumzia hapa jinsi mumewe huyo alivyochukuliwa na Marehemu Rais Samora Machel wa Msumbiji baada ya kutolewa kifungoni nchini Tanzania, na akampa heshima kubwa ya kuwa mshauri mkuu wa masuala ya usalama.

posted by stofstormyw