Afrika ni Askari aliyekuwa anapenda sana HAKI itendeke,lakini baada ya Gharama za maisha kuongezeka,Afrika anajikuta akipokea rushwa,Hii inapelekea yeye kufukuzwa kazi,Maisha yanazidi kuwa magumu zaidi kwa upande wake,Anaamua kwenda kuomba kazi ya ULINZI ili kukidhi mahitaji ya yeye na mke wake lakini siku ya kwanza ya LINDO anapata MSALA je? Atafanikiwa kuutoka Msala huo
Directed by Ramar King
https://instagram.com/ramar_king?igsh...
Afrika Isarito Mwakalindile
https://instagram.com/isarito_tmt?igs...